Haufananishwi Na Kitu Kingine Lyrics

Haufananishwi Na Kitu Kingine Lyrics By Boaz Danken. Wewe ni Mungu, mpasua bahari Haufananishwi na kitu kingine Haufananishwi na kitu kingine Wewe ni Mungu, mtuliza mawimbi Haufananishwi na kitu kingine Haufananishwi na kitu kingine.

Haufananishwi Na Kitu Kingine Lyrics

Wewe ni Mungu, mpasua bahari
Haufananishwi na kitu kingine
Haufananishwi na kitu kingine

Wewe ni Mungu, mtuliza mawimbi
Haufananishwi na kitu kingine
Haufananishwi na kitu kingine
(rudia toka juu)
Unafanya mambo ambayo
Mwanadamu hawezi kufanya
Unatoa faraja ambayo
Mwanadamu hawezi toa
(rudia)
Haufananishwi na kitu kingine
Haufananishwi na kitu kingine

Si mwepesi wa hasira
Unaghairi mabaya
Haufananishwi na kitu kingine
Haufananishwi na kitu kingine

Mungu mwenye wivu
Unatunza maagano
Haufananishwi na kitu kingine
Haufananishwi na kitu kingine

Katikati ya dhahabu
Unakumbuka rehema
Haufananishwi na kitu kingine
Haufananishwi na kitu kingine

Unafanya mambo ambayo
Mwanadamu hawezi kufanya
Unatoa faraja ambayo
Mwanadamu hawezi kutoa
(rudia x4)
Haufananishwi na kitu kingine
Haufananishwi na kitu kingine

If I Love You Was A Promise Lyrics